Font Size
Marko 16:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 16:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Arudi Mbinguni
(Lk 24:50-53; Mdo 1:9-11)
19 Hivyo baada ya Bwana Yesu kuzungumza nao, alichukuliwa mbinguni, kuketi katika mkono wa kuume wa Mungu. 20 Na mitume wakatoka na kwenda kuhubiri kila mahali, na Bwana alifanya kazi pamoja nao akithibitisha kuwa ujumbe wao ni wa kweli kwa ishara zilizofuatana na mahubiri yao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International