Mahubiri Ya Yohana Mbatizaji

Siku hizo Yohana Mbatizaji alitokea akihubiri katika nyika ya Yudea, akisema, “Tubuni, muache dhambi zenu, mumgeukie Mungu; kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.” Huyu ndiye aliyezungumzwa na nabii Isaya aliposema, “Sauti ya mtu anayeita kwa sauti kubwa huko nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Bwana, nyoosheni sehemu zote atakazopitia.’ ”

Yohana Mbatizaji alivaa nguo zilizotengenezwa kwa manyoya ya ngamia na kiunoni mwake alijifunga mkanda wa ngozi; chakula chake kilikuwa nzige na asali mwitu. Watu walimwendea kutoka Yerusalemu, Yudea yote na bonde lote la mto Yordani. Nao walipoungama dhambi zao aliwabatiza katika mto Yordani. Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili awabatize, aliwaambia, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya muepuke ghadhabu inayokuja? Basi thibitisheni kwa mwenendo mwema kwamba mmeziacha dhambi zenu. Wala msidhani mnaweza kujitetea mkisema, ‘Sisi ni wana wa Ibrahimu 10 Na hata sasa shoka la hukumu ya Mungu limewekwa tayari katika mashina ya miti. Kila mti usiozaa matunda mazuri, utakatwa katwa na kutupwa motoni.

11 “Mimi nawabatiza kwa maji kama ishara kwamba mmetubu dhambi zenu. Lakini baada yangu anakuja aliye mkuu kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuchukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. 12 Pepeto lake liko mkononi, naye atasafisha pa kupepetea nafaka, na ngano yake ataiweka ghalani; lakini makapi atayachoma kwa moto usiozimika.”

Yesu Abatizwa

13 Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka mto Yordani ili abatizwe na Yohana. 14 Yohana alitaka kumzuia akimwambia, “Mimi ndiye ninahitaji kubatizwa na wewe, mbona unakuja kwangu? ” 15 Lakini Yesu akamjibu, “Kubali iwe hivi kwa sasa; kwa maana inatupasa kutimiza haki yote.” Kwa hiyo Yohana akakubali.

16 Na Yesu alipokwisha kubatizwa alitoka kwenye maji, ghafla mbingu zilifunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua aka kaa juu yake. 17 Na sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ndiye

John the Baptist Prepares the Way(A)

In those days John the Baptist(B) came, preaching in the wilderness of Judea and saying, “Repent, for the kingdom of heaven(C) has come near.” This is he who was spoken of through the prophet Isaiah:

“A voice of one calling in the wilderness,
‘Prepare the way for the Lord,
    make straight paths for him.’”[a](D)

John’s(E) clothes were made of camel’s hair, and he had a leather belt around his waist.(F) His food was locusts(G) and wild honey. People went out to him from Jerusalem and all Judea and the whole region of the Jordan. Confessing their sins, they were baptized(H) by him in the Jordan River.

But when he saw many of the Pharisees and Sadducees coming to where he was baptizing, he said to them: “You brood of vipers!(I) Who warned you to flee from the coming wrath?(J) Produce fruit in keeping with repentance.(K) And do not think you can say to yourselves, ‘We have Abraham as our father.’(L) I tell you that out of these stones God can raise up children for Abraham. 10 The ax is already at the root of the trees, and every tree that does not produce good fruit will be cut down and thrown into the fire.(M)

11 “I baptize you with[b] water for repentance.(N) But after me comes one who is more powerful than I, whose sandals I am not worthy to carry. He will baptize you with[c] the Holy Spirit(O) and fire.(P) 12 His winnowing fork is in his hand, and he will clear his threshing floor, gathering his wheat into the barn and burning up the chaff with unquenchable fire.”(Q)

The Baptism of Jesus(R)

13 Then Jesus came from Galilee to the Jordan to be baptized by John.(S) 14 But John tried to deter him, saying, “I need to be baptized by you, and do you come to me?”

15 Jesus replied, “Let it be so now; it is proper for us to do this to fulfill all righteousness.” Then John consented.

16 As soon as Jesus was baptized, he went up out of the water. At that moment heaven was opened,(T) and he saw the Spirit of God(U) descending like a dove and alighting on him. 17 And a voice from heaven(V) said, “This is my Son,(W) whom I love; with him I am well pleased.”(X)

Footnotes

  1. Matthew 3:3 Isaiah 40:3
  2. Matthew 3:11 Or in
  3. Matthew 3:11 Or in