Ndipo kuhani mkuu alimwuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?” Stefano akajibu, “Ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni! Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Ibrahimu, ali pokuwa Mesopotamia, kabla hajahamia Harani, akamwambia, ‘Ondoka kutoka katika nchi yako na kutoka kwa jamii yako uende katika nchi nitakayokuonyesha.’ Ndipo alipotoka katika nchi ya Wakal dayo akaenda kukaa Harani. Baba yake alipokufa, Mungu akamtoa huko akamweka katika nchi hii ambayo mnaishi sasa. Lakini Mungu hakumpa urithi wo wote katika nchi hii, hakumpa hata mita moja ya ardhi. Bali Mungu alimwahidi kuwa yeye na uzao wake wangeirithi hii nchi, ingawa wakati huo Ibrahimu hakuwa na mtoto. Mungu alimwambia maneno haya, ‘Wazao wako wataishi ugenini, ambapo watafanywa kuwa watumwa na kutendewa maovu kwa kipindi cha miaka mia nne. Lakini nitalihukumu taifa ambalo watalitumikia, na baada ya haya watatoka katika nchi hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa.’

“Mungu akampa Ibrahimu agano la tohara. Basi Ibrahimu akawa baba wa Isaka; naye akamtahiri Isaka siku ya nane baada ya kuzaliwa kwake. Isaka akawa baba wa Yakobo, naye Yakobo akawa baba wa babu zetu kumi na wawili. Hawa babu zetu walimwonea Yusufu ndugu yao wivu, wakamwuza utumwani Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye. 10 Akamwokoa katika mateso yote yaliyom pata, na akampa fadhili na hekima mbele ya Farao, Mfalme wa Misri, ambaye alimfanya waziri mkuu wa nchi nzima na mtawala wa nyumba ya mfalme.

11 “Kukawa na njaa na dhiki kubwa nchi yote ya Misri na Kanaani, na babu zetu wakawa hawana chakula. 12 Lakini Yakobo aliposikia kwamba kule Misri kulikuwa na nafaka, aliwatuma wanawe, wakaenda huko kwa mara yao ya kwanza. 13 Nao walipotumwa mara ya pili, Yusufu alijitambulisha kwa ndugu zake, na akawatam bulisha ndugu zake kwa Farao. 14 Yusufu akatuma Yakobo baba yake aletwe Misri pamoja na ukoo mzima, wakiwa ni watu sabini na watano; na 15 Yakobo akaenda Misri. Naye akafa huko, yeye na wanawe, yaani babu zetu, 16 na miili yao ikachukuliwa na kuzikwa huko Shekemu katika kaburi ambalo Ibrahimu alinunua kutoka kwa wana wa Hamori. 17 Ulipokaribia wakati Mungu aliopanga kutimiza ahadi yake, kwa Ibrahimu, idadi ya watu iliongezeka sana huko Misri. 18 Ndipo akatokea mfalme mpya wa Misri ambaye hakumfahamu wala kumtambua Yusufu. 19 Huyu mfalme aliwafanyia hila watu wa taifa letu na akawalazimisha babu zetu wawatupe watoto wao wachanga ili wafe.

20 “Musa alizaliwa wakati huo, naye alikuwa mtoto mzuri sana machoni pa Mungu. Akalelewa na wazazi wake kwa muda wa miezi mitatu. 21 Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe. 22 Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri akawa mtu shujaa kwa maneno na matendo yake. 23 Musa alipokuwa na umri wa miaka arobaini akawa na hamu ya kuwatembelea ndugu zake Waisraeli. 24 Alipoona mmoja wao akionewa na Mmisri, akamwua yule Mmisri kulipiza kisasi. 25 Alidhani kuwa ndugu zake wangeelewa kwamba Mungu ali kuwa akiwaokoa kwa msaada wake, lakini wao hawakuelewa. 26 Kwa hiyo siku ya pili alipoona Waisraeli wanagombana alijaribu kuwa patanisha, akawaambia, ‘Jamani, ninyi ni ndugu. Mbona mnaoneana wenyewe kwa wenyewe?’ 27 Lakini yule aliyekuwa akimwonea mwen zake akamsukumia Musa kando, akamwuliza, ‘Ni nani aliyekuweka uwe mtawala na mwamuzi kati yetu? 28 Je, unataka kuniua kama ulivy omwua yule Mmisri jana?’ 29 Musa aliposikia maneno haya alikim bia akatoka Misri akaenda kuishi kama mkimbizi sehemu za Midiani. Huko akawa baba wa watoto wawili wa kiume. 30 “Baada ya miaka arobaini, malaika wa Mungu akamtokea jangwani karibu na Mlima Sinai katika kichaka kilichokuwa kina waka moto. 31 Musa alishangazwa na kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto; na aliposogea karibu ili aone vizuri, akasikia sauti ya Bwana ikisema, 32 ‘Mimi ni Mungu wa baba zako; Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka na wa Yakobo.’ Musa alitetemeka kwa hofu akaogopa kutazama.

33 “Mungu akamwambia, ‘Vua viatu vyako kwa maana hapo uli posimama ni mahali patakatifu. 34 Nimeona mateso ya watu wangu walioko Misri, na nimesikia kilio chao, nami nimeshuka ili niwaokoe. Basi sasa nitakutuma Misri.’ 35 Huyu Musa ndiye wali yemkataa wakisema, ‘Ni nani aliyekufanya uwe mtawala na mwamuzi wetu?’ Mungu alimtuma kama mtawala na mkombozi kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kile kichaka. 36 Aliwaongoza wana wa Israeli kutoka Misri, baada ya kufanya maajabu na ishara nyingi huko Misri na katika bahari ya Shamu, na katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini.

37 “Huyu Musa ndiye aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawateulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zenu kama alivyoni teua mimi.’ 38 Huyu Musa alikuwa katika kusanyiko la wana wa Israeli jangwani pamoja na baba zetu na yule malaika aliyezun gumza naye kwenye Mlima wa Sinai; akapokea maneno yaliyo hai ili atupatie.

39 “Lakini baba zetu walikataa kumtii Musa, wakamsusia, na mioyoni mwao wakarudi Misri. 40 Wakamwambia Haruni, ‘Tufanyie miungu watakaotuongoza; kwa maana huyu Musa aliyetutoa Misri hat ujui yaliyompata.’ 41 Siku hizo wakatengeneza kinyago mfano wa ndama, wakakitolea sadaka za kuteketezwa, kisha wakafanya sherehe kushangilia kitu walichotengeneza kwa mikono yao wenyewe. 42 Ndipo Mungu akaondoka kati yao, akawaacha waabudu sayari za angani kama miungu yao: jua, mwezi na nyota. Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii, ‘ Je, nyumba ya Israeli, mlinitolea sadaka za wanyama wa kuteketezwa kwa miaka arobaini jangwani? La! 43 Tazama mlibeba hema ya Moleki, na sanamu ya nyota wa Refani, miungu mliyotengeneza ili muiabudu. Kwa hiyo nitawapeleka utum wani, mbali kuliko Babiloni.’

44 “Baba zetu walikuwa na ile hema ya ushuhuda pamoja nao jangwani. Nayo ilikuwa imetengenezwa kama malaika alivyomwelekeza Musa itengenezwe; na kwa mshono ambao Musa alikuwa ameonyeshwa. 45 Nao baba zetu wakaileta hiyo hema wakiongozwa na Yoshua wali poiteka nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Na hivi ndivyo ilivyokuwa mpaka wakati wa mfalme Daudi 46 ambaye alipendwa na Mungu, naye akaomba apewe ruhusa amjengee Mungu wa Yakobo makao. 47 Lakini mfalme Sulemani ndiye aliyem jengea Mungu nyumba. 48 Hata hivyo Mungu aliye Mkuu sana hakai kwenye nyumba iliyojengwa kwa mikono na binadamu. Kama nabii alivyosema, 49 ‘Mbingu ni kiti changu cha Enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu: mtanijengea nyumba ya namna gani? Auliza Bwana. Au mahali pangu pa kupumzikia ni wapi? 50 Je, si mimi niliyeumba vitu vyote hivi?’

51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu! Wenye mioyo ya kipagani! Mmekuwa viziwi kwa neno la Mungu wala hamchoki kumpinga Roho Mta katifu! Kama walivyofanya baba zetu nanyi leo mnafanya vivyo hivyo. 52 Je, kuna nabii hata mmoja ambaye baba zetu hawa kumtesa? Waliwaua hata wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki, ambaye ninyi mmemsaliti kisha mkamwua. 53 Ninyi mlizipokea sheria za Mungu zilizoletwa kwenu na malaika lakini hamkuzitii.”

Stefano Auawa Kwa Kupigwa Mawe

54 Basi wale viongozi waliposikia maneno haya walijawa na hasira, wakasaga meno yao kwa ghadhabu. 55 Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, alitazama mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, akamwona Yesu amesimama upande wa kulia wa Mungu.” 56 Akasema, “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka na Mwana wa Adamu amesimama upande wa kulia wa Mungu.”

Adamu amesimama upande wa kulia wa Mungu.”

57 Wao wakapiga makelele, wakaziba masikio yao wasimsikie, wakamrukia kwa pamoja. 58 Wakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Na mashahidi walioteuliwa walimwachia kijana mmoja aitwae Sauli mavazi yao. 59 Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, Bwana Yesu, pokea roho yangu!” 60 Akapiga magoti akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema haya, akafa.

Stephen’s Speech to the Sanhedrin

Then the high priest asked Stephen, “Are these charges true?”

To this he replied: “Brothers and fathers,(A) listen to me! The God of glory(B) appeared to our father Abraham while he was still in Mesopotamia, before he lived in Harran.(C) ‘Leave your country and your people,’ God said, ‘and go to the land I will show you.’[a](D)

“So he left the land of the Chaldeans and settled in Harran. After the death of his father, God sent him to this land where you are now living.(E) He gave him no inheritance here,(F) not even enough ground to set his foot on. But God promised him that he and his descendants after him would possess the land,(G) even though at that time Abraham had no child. God spoke to him in this way: ‘For four hundred years your descendants will be strangers in a country not their own, and they will be enslaved and mistreated.(H) But I will punish the nation they serve as slaves,’ God said, ‘and afterward they will come out of that country and worship me in this place.’[b](I) Then he gave Abraham the covenant of circumcision.(J) And Abraham became the father of Isaac and circumcised him eight days after his birth.(K) Later Isaac became the father of Jacob,(L) and Jacob became the father of the twelve patriarchs.(M)

“Because the patriarchs were jealous of Joseph,(N) they sold him as a slave into Egypt.(O) But God was with him(P) 10 and rescued him from all his troubles. He gave Joseph wisdom and enabled him to gain the goodwill of Pharaoh king of Egypt. So Pharaoh made him ruler over Egypt and all his palace.(Q)

11 “Then a famine struck all Egypt and Canaan, bringing great suffering, and our ancestors could not find food.(R) 12 When Jacob heard that there was grain in Egypt, he sent our forefathers on their first visit.(S) 13 On their second visit, Joseph told his brothers who he was,(T) and Pharaoh learned about Joseph’s family.(U) 14 After this, Joseph sent for his father Jacob and his whole family,(V) seventy-five in all.(W) 15 Then Jacob went down to Egypt, where he and our ancestors died.(X) 16 Their bodies were brought back to Shechem and placed in the tomb that Abraham had bought from the sons of Hamor at Shechem for a certain sum of money.(Y)

17 “As the time drew near for God to fulfill his promise to Abraham, the number of our people in Egypt had greatly increased.(Z) 18 Then ‘a new king, to whom Joseph meant nothing, came to power in Egypt.’[c](AA) 19 He dealt treacherously with our people and oppressed our ancestors by forcing them to throw out their newborn babies so that they would die.(AB)

20 “At that time Moses was born, and he was no ordinary child.[d] For three months he was cared for by his family.(AC) 21 When he was placed outside, Pharaoh’s daughter took him and brought him up as her own son.(AD) 22 Moses was educated in all the wisdom of the Egyptians(AE) and was powerful in speech and action.

23 “When Moses was forty years old, he decided to visit his own people, the Israelites. 24 He saw one of them being mistreated by an Egyptian, so he went to his defense and avenged him by killing the Egyptian. 25 Moses thought that his own people would realize that God was using him to rescue them, but they did not. 26 The next day Moses came upon two Israelites who were fighting. He tried to reconcile them by saying, ‘Men, you are brothers; why do you want to hurt each other?’

27 “But the man who was mistreating the other pushed Moses aside and said, ‘Who made you ruler and judge over us?(AF) 28 Are you thinking of killing me as you killed the Egyptian yesterday?’[e] 29 When Moses heard this, he fled to Midian, where he settled as a foreigner and had two sons.(AG)

30 “After forty years had passed, an angel appeared to Moses in the flames of a burning bush in the desert near Mount Sinai. 31 When he saw this, he was amazed at the sight. As he went over to get a closer look, he heard the Lord say:(AH) 32 ‘I am the God of your fathers,(AI) the God of Abraham, Isaac and Jacob.’[f] Moses trembled with fear and did not dare to look.(AJ)

33 “Then the Lord said to him, ‘Take off your sandals, for the place where you are standing is holy ground.(AK) 34 I have indeed seen the oppression of my people in Egypt. I have heard their groaning and have come down to set them free. Now come, I will send you back to Egypt.’[g](AL)

35 “This is the same Moses they had rejected with the words, ‘Who made you ruler and judge?’(AM) He was sent to be their ruler and deliverer by God himself, through the angel who appeared to him in the bush. 36 He led them out of Egypt(AN) and performed wonders and signs(AO) in Egypt, at the Red Sea(AP) and for forty years in the wilderness.(AQ)

37 “This is the Moses who told the Israelites, ‘God will raise up for you a prophet like me from your own people.’[h](AR) 38 He was in the assembly in the wilderness, with the angel(AS) who spoke to him on Mount Sinai, and with our ancestors;(AT) and he received living words(AU) to pass on to us.(AV)

39 “But our ancestors refused to obey him. Instead, they rejected him and in their hearts turned back to Egypt.(AW) 40 They told Aaron, ‘Make us gods who will go before us. As for this fellow Moses who led us out of Egypt—we don’t know what has happened to him!’[i](AX) 41 That was the time they made an idol in the form of a calf. They brought sacrifices to it and reveled in what their own hands had made.(AY) 42 But God turned away from them(AZ) and gave them over to the worship of the sun, moon and stars.(BA) This agrees with what is written in the book of the prophets:

“‘Did you bring me sacrifices and offerings
    forty years in the wilderness, people of Israel?
43 You have taken up the tabernacle of Molek
    and the star of your god Rephan,
    the idols you made to worship.
Therefore I will send you into exile’[j](BB) beyond Babylon.

44 “Our ancestors had the tabernacle of the covenant law(BC) with them in the wilderness. It had been made as God directed Moses, according to the pattern he had seen.(BD) 45 After receiving the tabernacle, our ancestors under Joshua brought it with them when they took the land from the nations God drove out before them.(BE) It remained in the land until the time of David,(BF) 46 who enjoyed God’s favor and asked that he might provide a dwelling place for the God of Jacob.[k](BG) 47 But it was Solomon who built a house for him.(BH)

48 “However, the Most High(BI) does not live in houses made by human hands.(BJ) As the prophet says:

49 “‘Heaven is my throne,
    and the earth is my footstool.(BK)
What kind of house will you build for me?
says the Lord.
    Or where will my resting place be?
50 Has not my hand made all these things?’[l](BL)

51 “You stiff-necked people!(BM) Your hearts(BN) and ears are still uncircumcised. You are just like your ancestors: You always resist the Holy Spirit! 52 Was there ever a prophet your ancestors did not persecute?(BO) They even killed those who predicted the coming of the Righteous One. And now you have betrayed and murdered him(BP) 53 you who have received the law that was given through angels(BQ) but have not obeyed it.”

The Stoning of Stephen

54 When the members of the Sanhedrin heard this, they were furious(BR) and gnashed their teeth at him. 55 But Stephen, full of the Holy Spirit,(BS) looked up to heaven and saw the glory of God, and Jesus standing at the right hand of God.(BT) 56 “Look,” he said, “I see heaven open(BU) and the Son of Man(BV) standing at the right hand of God.”

57 At this they covered their ears and, yelling at the top of their voices, they all rushed at him, 58 dragged him out of the city(BW) and began to stone him.(BX) Meanwhile, the witnesses(BY) laid their coats(BZ) at the feet of a young man named Saul.(CA)

59 While they were stoning him, Stephen prayed, “Lord Jesus, receive my spirit.”(CB) 60 Then he fell on his knees(CC) and cried out, “Lord, do not hold this sin against them.”(CD) When he had said this, he fell asleep.(CE)

Footnotes

  1. Acts 7:3 Gen. 12:1
  2. Acts 7:7 Gen. 15:13,14
  3. Acts 7:18 Exodus 1:8
  4. Acts 7:20 Or was fair in the sight of God
  5. Acts 7:28 Exodus 2:14
  6. Acts 7:32 Exodus 3:6
  7. Acts 7:34 Exodus 3:5,7,8,10
  8. Acts 7:37 Deut. 18:15
  9. Acts 7:40 Exodus 32:1
  10. Acts 7:43 Amos 5:25-27 (see Septuagint)
  11. Acts 7:46 Some early manuscripts the house of Jacob
  12. Acts 7:50 Isaiah 66:1,2