Font Size
Mathayo 10:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Mtakapokamatwa, msisumbuke kuhusu nini mtakachosema au namna gani mtakavyosema. Katika wakati huo mtapewa maneno ya kusema. 20 Si ninyi mtakaoongea; Roho wa Baba Mungu wenu atakuwa anaongea kupitia ninyi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International