Font Size
Mathayo 10:32-33
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:32-33
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Msiionee Haya Imani Yenu
(Lk 12:8-9)
32 Iwapo mtawaambia watu wengine kuwa mnaniamini, nitamwambia Baba yangu aliye mbinguni kuwa ninyi ni wangu. 33 Lakini ikiwa mtasimama mbele ya wengine na kusema kuwa hamniamini, nitamwambia Baba yangu aliye mbinguni kuwa ninyi si wangu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International