Font Size
Matayo 19:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awabariki Watoto Wadogo
13 Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wali owaleta. 14 Yesu akawaambia, “Waacheni watoto waje kwangu, msiwazuie; kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa walio kama hawa. 15 Alipokwisha wawekea mikono akaondoka.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica