Font Size
Mathayo 26:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yuda Akubali Kuwasaidia Adui wa Yesu
(Mk 14:10-11; Lk 22:3-6)
14 Ndipo Yuda Iskariote, mmoja wa wanafunzi kumi na wawili wa Yesu alikwenda kuzungumza na wakuu wa makuhani. 15 Akasema, “Nikimkabidhi Yesu kwenu, mtanilipa nini?” Makuhani walimpa sarafu thelathini za fedha. 16 Kuanzia siku hiyo, Yuda alianza kutafuta muda mzuri wa kumsaliti Yesu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International