Kutokuamini Kwa Waisraeli

10 Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maombi yangu kwa Mungu ni kwamba Waisraeli waokolewe. Ninashuhudia wazi kwamba wao wanajuhudi kubwa ya kumtumikia Mungu, lakini juhudi yao haitokani na kuelewa. Wameshindwa kuelewa haki itokayo kwa Mu ngu, na badala yake wakajaribu kujiwekea ya kwao; kwa hiyo hawa kutii haki ya Mungu. Kwa maana Kristo amekamilisha sheria ili kila mtu mwenye imani ahesabiwe haki.

Wokovu Ni Kwa Wote

Musa anaandika kwamba mtu anayejaribu kutenda haki kwa msingi wa sheria ataishi kwa sheria. Lakini haki itokanayo na imani husema hivi, “Usiseme nafsini mwako, ‘Ni nani atapaa mbi nguni?”’ yaani kumleta Kristo duniani, au “‘Ni nani atashuka kuzimuni?”’yaani kumleta Kristo kutoka kwa wafu. Bali inasema hivi, “Neno la Mungu liko karibu nawe; liko mdomoni mwako na moyoni mwako,” yaani, neno la imani tunayohubiri. Kama ukikiri kwa kinywa chako kuwa Yesu ni Bwana na ukiamini moyoni mwako kuwa Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka. 10 Kwa maana mtu ana poamini moyoni mwake huhesabiwa haki, na anapokiri kwa kinywa chake, huokolewa. 11 Kama yasemavyo Maandiko, “Hakuna amwami niye ambaye ataaibika.” 12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya wote naye huwabariki wote wamwitao. 13 Kwa maana, “Kila mtu atakayeliita Jina la Bwana, ataokoka.”

14 Lakini watu watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Na watamwaminije yeye ambaye hawajawahi kumsikia? Na watamsikiaje kama mtu hakuwahubiria? 15 Na watu watahubirije kama hawaku tumwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri mno miguu ya hao wanaohubiri Habari Njema!”

16 Lakini si wote walioipokea Habari Njema. Kwa maana Isaya alisema:“Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?” 17 Basi, chanzo cha imani ni kusikia, na kusikia huja kwa kuhubiri neno la Kristo. 18 Lakini nauliza, hivi wao hawajasikia? Hakika wame sikia; kwa maana Maandiko yanasema: “Sauti yao imeenea duniani kote, na maneno yao yamefika miisho ya ulimwengu.” 19 Nauliza tena, je, Waisraeli hawakuelewa? Kwanza Musa anasema, “Nitawa fanya muone wivu kwa ajili ya wale ambao hawajawa taifa bado; nitawafanya mkasirike kwa ajili ya taifa la watu wasio elewa.” 20 Na Isaya anasema kwa ujasiri, “Wale ambao wali kuwa hawanitafuti, wamenipata. Nimejidhihirisha kwa wale ambao walikuwa hawaniulizii.” 21 Lakini kuhusu wana wa Israeli anasema: “Mchana kutwa nimewanyooshea mikono watu wakaidi na wasiotii.”

10 Brothers and sisters, my heart’s desire(A) and prayer to God for the Israelites is that they may be saved. For I can testify about them that they are zealous(B) for God, but their zeal is not based on knowledge. Since they did not know the righteousness of God and sought to establish their own, they did not submit to God’s righteousness.(C) Christ is the culmination of the law(D) so that there may be righteousness for everyone who believes.(E)

Moses writes this about the righteousness that is by the law: “The person who does these things will live by them.”[a](F) But the righteousness that is by faith(G) says: “Do not say in your heart, ‘Who will ascend into heaven?’”[b](H) (that is, to bring Christ down) “or ‘Who will descend into the deep?’”[c](I) (that is, to bring Christ up from the dead).(J) But what does it say? “The word is near you; it is in your mouth and in your heart,”[d](K) that is, the message concerning faith that we proclaim: If you declare(L) with your mouth, “Jesus is Lord,”(M) and believe(N) in your heart that God raised him from the dead,(O) you will be saved.(P) 10 For it is with your heart that you believe and are justified, and it is with your mouth that you profess your faith and are saved. 11 As Scripture says, “Anyone who believes in him will never be put to shame.”[e](Q) 12 For there is no difference between Jew and Gentile(R)—the same Lord is Lord of all(S) and richly blesses all who call on him, 13 for, “Everyone who calls on the name of the Lord(T) will be saved.”[f](U)

14 How, then, can they call on the one they have not believed in? And how can they believe in the one of whom they have not heard? And how can they hear without someone preaching to them? 15 And how can anyone preach unless they are sent? As it is written: “How beautiful are the feet of those who bring good news!”[g](V)

16 But not all the Israelites accepted the good news.(W) For Isaiah says, “Lord, who has believed our message?”[h](X) 17 Consequently, faith comes from hearing the message,(Y) and the message is heard through the word about Christ.(Z) 18 But I ask: Did they not hear? Of course they did:

“Their voice has gone out into all the earth,
    their words to the ends of the world.”[i](AA)

19 Again I ask: Did Israel not understand? First, Moses says,

“I will make you envious(AB) by those who are not a nation;
    I will make you angry by a nation that has no understanding.”[j](AC)

20 And Isaiah boldly says,

“I was found by those who did not seek me;
    I revealed myself to those who did not ask for me.”[k](AD)

21 But concerning Israel he says,

“All day long I have held out my hands
    to a disobedient and obstinate people.”[l](AE)

Footnotes

  1. Romans 10:5 Lev. 18:5
  2. Romans 10:6 Deut. 30:12
  3. Romans 10:7 Deut. 30:13
  4. Romans 10:8 Deut. 30:14
  5. Romans 10:11 Isaiah 28:16 (see Septuagint)
  6. Romans 10:13 Joel 2:32
  7. Romans 10:15 Isaiah 52:7
  8. Romans 10:16 Isaiah 53:1
  9. Romans 10:18 Psalm 19:4
  10. Romans 10:19 Deut. 32:21
  11. Romans 10:20 Isaiah 65:1
  12. Romans 10:21 Isaiah 65:2