Font Size
Luka 9:49-50
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 9:49-50
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Asiye Kinyume Nanyi ni Mmoja Wenu
(Mk 9:38-40)
49 Yohana akajibu; “Bwana mkubwa, tuliona mtu anatoa pepo kutoka kwa watu akitumia jina lako. Tulimwambia aache kwa sababu hayuko katika kundi letu.”
50 Yesu akamwambia, “Msimkataze. Asiye kinyume nanyi yu pamoja nanyi.”
Read full chapter
Luka 9:49-50
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 9:49-50
Neno: Bibilia Takatifu
49 Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akifukuza pepo kwa jina lako tukamzuia kwa maana yeye si mmoja wetu.” 50 Yesu akasema, “Msimzuie kwa sababu ye yote ambaye hapingani nanyi, yuko upande wenu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica