Font Size
Marko 14:53-54
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:53-54
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Akiwa Mbele ya Viongozi wa Kidini
(Mt 26:57-68; Lk 22:54-55,63-71; Yh 18:13-14,19-24)
53 Nao wakamwongoza Yesu kumpeleka kwa kuhani mkuu, na viongozi wote wa makuhani, wazee, na walimu wa Sheria walikutanika. 54 Petro akamfuata Yesu kwa mbali kidogo hadi ndani ya baraza la nyumba ya kuhani mkuu. Petro alikuwa ameketi na wale walinzi akijipasha joto na moto walioukoka.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International