Font Size
Mathayo 10:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kumfuata Yesu Kunaleta Matatizo
(Lk 12:51-53; 14:26-27)
34 Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita. 35 Nimekuja ili hili litokee:
‘Mwana atamgeuka baba yake.
Binti atamgeuka mama yake.
Binti mkwe atamgeuka mama mkwe wake.
36 Hata watu wa familia zenu watakuwa adui zenu.’(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International